“Aache uvivu” Unai - spn5swahili

Breaking News

test banner

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, August 18, 2018

“Aache uvivu” Unai


Kocha mpya wa Arsenal amemtaka Mesuit Ozil kuacha kupotea katika mechi kubwa na hivyo aonyeshe kiwango kinachomfanya alipwe pesa nyingi Zaidi.

Mesuit amekua mchezaji wa kupotea katika mechi kubwa hivyo kuwa mzigo kwa wachezaji wenzake, “kila mchezaji anahitaji ukomavu na kujituma akiwa uwanjani na nnje ya uwanja, nahitaji sana hivyo vitu kutoka kwa wachezaji wangu” Unai.


“ozil ni mchezaji wa kariba ya juu, amekua akicheza namba kumi mara nyinigine akitokea pembeni hivyo anaweza kuwa chachu ya sisi kwenda mbele”, aliongeza Unai.


Arsenal inachuana na Chelsea jumamosi majira ya saa moja jioni huku ikikumbuka kipigo cha mabao mawili bila majibu kutoka kwa Manchester City, hivyo ushindi wa dhidi ya Chelsea utaleta auheni kwa Mhispaniola huyo na kwa wachezaji wake pia.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages