Zidane kuifundisha Manchester United - spn5swahili

Breaking News

test banner

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, August 16, 2018

Zidane kuifundisha Manchester United


Kiungo wa zamani wa Real Madrid na kocha wa timu hiyo Zinedine Zidan ametangaza ni ya kuifundisha klabu ya Manchester United msimu ujao baada ya kuachana na klabu ya Real Madrid, kocha huyo amesema anajiona kabisa anaweza kuchukua mikoba ya mreno Mourhino.


Zidane aliondoka Real Madrid hukua akiwa na mafanikio makubwa sana na kumfanya kuwa kocha wa kwanza kuweza kuchukua ligi ya Mabingwa mara tatu na hivyo kujiwekea sifa kubwa barani ulaya na duniani kote, hivyo kumfanya kuwa kocha anae hitajika na klabu kubwa duniani.
Mfaransa huyo alitegemewa kuwa mrithi wa Dechamps baada ya kombe la dunia lakini kocha huyo wa timu ya ufaransa aliamua kuongeza mkataba wa kuendelea kuwanoa mabingwa hao wa dunia.
Kocha wa Manchester United amekua katika mvutano kubwa na mkurugenzi wa klabu huyo Ed Woodward na hivyo kufanya uwezekato wa yeye kuendelea kuwa klabuni hapo kuwa mdogo sana, 



mvutano huu ulitokana na kuyumba yumba jwa klabu hiuo katima dirisha la usajili, ikumbukwe kuwa kocha huyo alisaini mkataba mpya na klabu hiyo ambao utamueka klabuni hapo hadi 2021.
Pamoja na kusaini mkataba mpya., kocha huyo amekua na tabia ta kuto maliza mikataba yake hasa akigikia mwaka wa tatu na hii alifanya akiwa na klabu Chelsea ambayo ali itumikia katima misimu miwili tofauti, inter milan na Real Madrid.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages