Huku Paul akimwambia kocha wake huyo kuwa hawezi zungumza
nae na kama anataka kuzungumza nae basi amtumie mwalilishi wake na sio moja kwa
moja.
Ugomvi huu umezidi kushika kasi baada ya kauli ya awali ya
Paul kuhusu utofauti wa kocha huyo na wa ufaransa Diddier Dechamps, pia
imechicgewa zaidia na uvumi wa kiungo huyo kutaka kuhamia mabingwa wa Hispania
,Barcelona baada ya mechi na Leicester.
Inasemekana kuwa pogba yuko tayari kuondoka hata kama
mvutano huo utaisha huku wakala wake akiwa amekubali ada ya uhamisho cha paundi million 89 lakin Manchestrr united
wamekataa ifa hiyo. Mourhino atatoa maelezo kuhusu mamneno ya Pogba kesho
wakati wa mkutano na waandishi wa habari.
No comments:
Post a Comment