‘Uamuzi mwepesi tu’, Unai - spn5swahili

Breaking News

test banner

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, August 17, 2018

‘Uamuzi mwepesi tu’, Unai


Kocha wa Arsenal amesema maamuzi ya kuendelea na kipa Peter Cech mi mwepesi na haitaji kuumiza kichwa, ‘ni rahisi tu nitabaki na Peter kama goli kipa wangu namba moja’, alisema Unai. Kwa maana nyingine kipa mpya wa klabu hiyo Leno atarndelea kusugua benchi kama kawaida.


Maneno hayo yamekuja baada ya kipa kuyo kuvurunda mechi ya kwanza ya msinu dhidi ya 
Manchester City, kipa huyo alifanya makosa ambayo yange igharimu timu na hivyo kuibua maswali mengi juu ya uwezo wake.


Kocha Unai aliejiunga na klabu hiyo majira ya joto alikuja na mfumo mpya amabao inahitaji wachezaji kuanzisha mashambulizi kwankuanzia nyuma huku mfumo huo ukiwa na changamoto kubwa kwa wachezaji hasa mabeki na kipa.



Peter Cech alijiunga na Arsenal akitokea Chelsea ambako aliitumikia klabu hiyonkwa miaka kumi ma moja na kufanikiwa  kiutwaa mataji manne ya ligi kuu na moja la ligi ya mabingwa ulaya.

Arsenal wanakutana na Chelsea kesho katika uwanja wa Stanford Bridge huku Arsenal wakiwa na historia mbaya uwanjani hapo wakiambulia ushindi mmoja tu ndani ya miaka takriban mitano ushindi wao wa mwisho ulikuja mwaka 2010 walipo ifunga chelsea bao tano tatu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages