Kocha wa Manchester unite amsema kuwa hana tatizo kati yake
na kiungo Paul Pogba na hamna wakati ambao wawili hao wana elewana kama wakati
huu, kocha huyo kaeleza mamneno haya wakati ambao kuna uvumi kuwa Paul anataka
kuondka Manchester United.
Kuhusu maneno ya Pogba baada ya mechi ya leicester Mourhino
kasema kuwa "mengine muulizeni yeye labda atakua na majibu sahihi lakini
kwangu ni shwari kabisa, na et atapigwa faini?..sijui kwa sababu tabgia nije
hapa ni mchezaji mmoja tu ndio kapigwa faini".
"Msimfanye Pogba aonekane hana akili na si muelewa,
kijana huyu ana akili sana na muelewa pia na ndio maana alicheza mechi ya
Leicester licha ya kurejea kambini akiwa amechelewa kutokana na mapumziko ya
kombe la dunia na tulipo muomba acheze akakubali", aliongeza kocha huyo.
Imefahamika kuwa mchezaji wa Manchester United Anthony
Martial kalimwa faini ya kiasi cha paundi 180000 kutokana na utovu wa nidhamu
alio uonyesha wakati wa safari ya maandalizi ya msimu mpya huko marmekani.
Wachezaji Nemanja,valencia na jesse watejea mazoezini ila
hawata jumuishwa katika mechi dhidi ya Brighton City, Lukaku ambaye alianzia
benchi mechi ilio isha anategemewa kuiongoza timu hiyo ya mashetani katika
mashambulizi.
No comments:
Post a Comment