De-Bruyne nje miezi mitatu - spn5swahili

Breaking News

test banner

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, August 16, 2018

De-Bruyne nje miezi mitatu


Kiungo wa Manchester City amekumbwa ba majeraha la goti wakati wa mazoezi na hivyo atakya nnje kwa muda wa miezi mitatu, kuumia huko kwa mchezaji huyo mwenye uwezo maridadi kabisa uwanjani ni pigo kubwa kwa mabingwa hao wa England hasa katika mbio za kutetea kombe la ligi kuu england.



De-Bruyne alionekana akiwa gym na wenzie wakifanya mazoezi ya viungo na pia alionekana mchana akiwa uwanja wa mazoezi na ndipo alipo pata majeraha ya goti, taatifa zinasema kuwa kiungo huyo aliumia sehemu ile ile alio umia mwaka 2016 pale alipo kua akikabana na mchezaji wa Everton na kumuweka nnje kwa kipindi cha wiki tisa.


Matabibu wa klabu hiyo wasema kua uchunguzi wa kina unaendelea na taarifa zaidi juu ya majeraha hayo zitatikewa kwa katika tovuti ya klabu hiyo.
Hata hivyo mabingwa hao wana wachezaji wa kuziba oengo la kiungo huo mbeljiji na hao wakiwemo akina David Silva,Benardo Silva na kiungo chipukizi phill forden.”nimekua kama mchezaji, najiona kiongozi kabisa na kwa hili namshukuru sana kocha kwani bila yeye nisingekua hapa nilipo”, De-Bruyne.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages