Wachezaji wa Arsenal wafurahishwa - spn5swahili

Breaking News

test banner

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, August 14, 2018

Wachezaji wa Arsenal wafurahishwa


Wachezaji wa Arsenal wafurahishwa  na mbinu za kocha wao mpya, wasema kuwa mbinu zake za ufundishaji ni nzuri na zina mwelekeo mzuri sana, na wataweza kuzinasa vizuri filisofia zake hasa katika kipidi hiki ambacho wanabadilika kutoka mbinu za Arsene Wenger.


 Katika uongozi wa Arsene, Arsenal ilikua inacheza mpira wa kushambulia sana na pasi fupi fupi, mfumo hii unajulikani kwa jina la kitaalamu ‘attacking football’ lakini mfumo huu hasa kaw mfaransa huyu ulkua na faida kubwa endapo tu watakutana ana timu ndogo, Arsenal iliweza kuzinyanayasa timu ndo na pia ili kuwa mkate kwa chai mbele ya timu kubwa tena kwa vipigo vya aibu mfano 8-2 dhidi ya Manchester united, 6-0 mbele ya Chelsea, 5-0 mara mbili dhidi ya Bayern Munchen ya ujerumani.


Hvyo basi baada ya  Unai kukumbana na kipigo cha bao mbili moja kutoka kwa mabingwa watetezi katika  yake ya kwanza ya msimu hivyo kummpa wakati mgumu, kutokana na mechi hiyo yaonyesha kwamba Kocha huyo bado ana kazi ngumu ya kufanya ili kurudisha timu hiyo katika ubora wake.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages