‘Tumefanikiwa kumleta Ronaldo Juventus, hiki kitu kizuri sana kwetu’ asema mkurugenzi wa Juventus. - spn5swahili

Breaking News

test banner

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, August 14, 2018

‘Tumefanikiwa kumleta Ronaldo Juventus, hiki kitu kizuri sana kwetu’ asema mkurugenzi wa Juventus.


Nedved mchezaji wa zamani wa Juventus na mkurugenzi amesema kuwa wanayo furaha sana kumsajili mchezaji bora wa dunia Christiano Ronaldo, na kuwa yeye atakua chachu ya kufanikiwa katika mbio zao za kuinyakua ligi ya mabingwa msimu huu.



Ronaldo mwenye miaka 33 alisajiliwa na Juventus akitokea Real Madrid kwa kitita cha paundi million 108 na alionyesha cheche zake hapo jana alipofunga bao katika mechi ya dhidi ya juventus ndogo.


‘dunia inatambua uwepo wetu katika ushindani wa soka ulaya’ aliongeza Nedved. Juventus itafungua ligi katika mechi dhidi ya Chievo, mechi ambayo Christiano ataanza na itakua mechi yake ya kwanza ya ushindani.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages