‘Sijui amekua akifanya nini kwa wiki zote hizo’, Tony Adams - spn5swahili

Breaking News

test banner

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, August 14, 2018

‘Sijui amekua akifanya nini kwa wiki zote hizo’, Tony Adams


Mchezaji wa zamani wa Arsenal na England ameponda kocha mpya wa Arsenal, Unai baada ya kichapo kutoka kwa mabingwa wa ligi hiyo Manchester City. Tony amenshangaa kocha huyo kwa kuwa na mtindo wa kubadilisha badilisha wachezaji wakati wa “pre season”, na kusema kuwa haikuwa na umuhimu wa kufanya ivyo bali angechagua kikosi ambacho angeweza kuanza nacho katika msimu mpya.


Pia ameongeza kuwa ni jambo zuri kuadilisha mfumo lakini itachukua muda wachezaji kuzoea mfumo mpya nah ii ni kutokana na makosa yalionekana wakati wa mechi,”mfumo mpya ni changamoto ukizigatia wacheza walikua wamezoea mfumo wa Arsene Wenger” aliongeza Adams.
Tony Adams ameichezea Arsenal katika miaka ta tisini pamoja na mwanzoni mwa miaka ya 2000 huku akujizolea umaarufu mkubwa akiwa na washika bunduki hao wa London akishinda vikombe vya ligi kuu vinne.


Arsenal itakabiliana na Chelsea katika uwanja wa Stanfrod Bridge jumamosi hii huku kocha huyo akiwa na matumaini Arsenal haita kuwa dhaifu kama mechi ya Manchester City.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages