Kocha mpya wa kablu ya Chelsea ameeleza dukuduku lake kuhusu
changamoto za ligi kuu ya Uingereza, Sarri amesema kuwa anahitaji miezi miwili
ili timu yake kuwa imara na pia anaiomba bodi irekebishe mambo kadhaa katika
dirisha la msimu ujao, kwani anataka timu yake iweze kucheza kwa kasi sana.
“Magoli ni tatizo kwa Chelsea sio tu msimu ulioisha hata
wakati wa maandalizi ya ligi kuu tulipa magoli machache sana ,hivyo tunachoitaji ni kasi, kasi itasaidia
kupatakina kwa magoli kiurahisi na hilo ndio jukumu langu kama kocha wa klabu”.
“Nadhani kikosi change kitaku kimekamilika baada ya ujio wa
Matheo Kovavic hivyo hatutakua na shida sana na kama tutaongeza huko mbeleni
basi watakua wachache”.
Pia muitaliano huyo amewaambi mashabiki wa Chelsea kuwa wasitegemee
kuwa kipa wao mpya Kepa Arrizabalaga, ambaye atakuwepo katika kikosi cha kwanza
katika mechi yao ya ufunguzi atakuwa na kiwango sawa na cha Courtois kwa muda
mfupi.
No comments:
Post a Comment