Mshambuliaji raia wa Hispania yuko mbioni kujiunga ya klabu ya wagonga nyundo wa London, West ham. West Ham imezidi kuimarisha kikosi chake baada ya kuwanyakua wachezaji nyota akiwemo Wilshere alietokea Arsenal, Felipe Anderson, Issa Diop na Andriy Yarmolenko.
Huku lucas akionekana kutaka kubakia ligi kuu ya uingereza, ikumbukwa kwamba Arsenal ilimsajili mshambuliaji huyo wa raia Hispania kutoka klabu ya Deportivo kwa ada ya pauni ya milioni 17 na hakufanikwa kupenya katika kikosi cha kwanza

West Ham itakipiga na liverpool katika mechi yake ya kwanza siku ya Jumapili.
No comments:
Post a Comment