Real Madrid yakamilisha ziara yake kwa ushindi wa2-1 dhidi ya Roma. - spn5swahili

Breaking News

test banner

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, August 8, 2018

Real Madrid yakamilisha ziara yake kwa ushindi wa2-1 dhidi ya Roma.



Mabingwa hao wa ulaya wali hitimisha ziara yao katika bara ya marekani kwa kuinyuka Roma klabu ya Italia  kwa mabao mawili kwa moja katika uwanja wa New Jersey, mabao yakifungwa na Garath Bale na Asensio huku kakufutia machozi la Roma likifungwa na Kelvin Stootman .

Julen Lopetegui alitupa uwanjani kikosi kizito kilicho husisha Navas,Carjaval (Sergio Lopez 71), Nacho (Raul De Tomas 81), Ramos (Marcos Llorente H-T), Reguilon (Odegaard 71); Ceballos (Jose Leon 71), Kroos (Sanchez H-T), Isco (Valverde 56); Bale (Vazquez 56), Benzema (Vinicius 57), Asensio (Borja Mayoral 57).


Mabingwa hao walioneka katika kiwango maridhawa kabisa huku wakicheza mpira wa pasi fupi fupi na kasi ya aina yake hivyo kuwapa wakato mgumu wapinzani wao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages